

“Usimamizi wa ubora, usalama, hadhi, mahusiano,
ushirikiano, na sera ya ofisi ni mambo muhimu ya kumfanya mfanyakazi aridhike
na mazingira yake ya kazi”
Mwisho wa kunukuu maneno ya msomi wa...

Je, unajua waajiri wakati mwingine hulipa kiwango kikubwa
Cha mshahara kwa kuwa mwajiriwa ana elimu sahihi na uzoefu? Je, unaweza kuwa na
uwezo wa kupata mshahara mkubwa kwa kufanya kazi moja...

“Hakuna binadamu mkamilifu”, huu msemo hatujaanza kuusikia leo, ila ni wachache kati yetu tunaoweza kuupa maana yake kamili pale ambapo kuna kosa limefanyika iwe na mtu mwengine au sisi wenyewe. Ukiwa...
MAMBO SITA UNAYOPASWA KUJIKUMBUSHA KILA WAKATI UNAPOKUTANA NA UGUMU KATIKA KUFANIKISHA MALENGO YAKO.

Acha ukweli usemwe, furaha ya kweli si kutokuwa na matatizo,
lakini ni uwezo wa kukabiliana nayo kwa ujasiri. Mara zote angalia kile ulicho
nacho mkononi, badala ya kufikiria ulichopoteza. Sababu...
JE, UNAZIFAHAMU STADI AMBAZO WAAJIRI WENGI WANAZIANGALIA KWA WAFANYAKAZI/WAOMBAJI WA KAZI? SOMA UJIELIMISHE.

Ukikutana na
mtafuta ajira kilio chake kikubwa ni nimefanyiwa usaili mara nyingi ila baada
ya hapo sijaitwa tena.
Waajiri huwa wanatumia vigezo gani katika kujaza nafasi za kazi
katika ofisi...
Subscribe to:
Posts (Atom)